by tff admin | Sep 5, 2022 | News, Twiga Stars
Twiga Stars yatoshana nguvu na Botswana Timu ya Taifa ya wanawake ‘Twiga stars’ imetoshana nguvu na timu ya taifa ya Botswana kwa kutoka Sare ya kutokufungana katika michuano ya Hollywoodbets Cosafa women’s championship inayoendelea nchini Afrika...
by tff admin | Sep 2, 2022 | News, Twiga Stars
Twiga Stars yaanza vyema Cosafa Timu ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ imeanza vyema michuano ya HOLLYWOODBETS COSAFA baada ya kuichakaza Comoro mabao 3-0 katika mchezo wa kundi C uliopigwa katika dimba la Madibaz Port Elizabeth, Afrika Kusini.Bao la...
by tff admin | Sep 2, 2022 | News
Shime: Tunakwenda kutetea ubingwa wetu Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ Bakari Shime amesema kikosi chake kipo tayari kutetea ubingwa wa michuano ya wanawake ukanda wa Afrika Kusini ( Hollywood bets Cosafa women’s championship)...
by tff admin | Aug 31, 2022 | News, Twiga Stars
TWIGA STARS YATUA AFRIKA KUSINI, KUANZA NA WACOMORO COSAFA. Mabingwa watetezi wa michuano ya Wanawake ya HOLLYWOODBETS COSAFA Timu ya Taifa ya Tanzania “Twiga Stars’ imetua Afrika Kusini tayari kwa kuanza kibarua cha kutetea taji lao. Twiga Stars...
by tff admin | Aug 27, 2022 | News
Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania Wallace Karia amewataka waandishi wa habari za michezo hususani mpira wa miguu kuhakikisha wanatumia mitandao ya kijamii vizuri kwa kuandika habari zenye tija ambazo zitachangia kukuza soka la Tanzania.Hayo...