Mtibwa Sugar Bingwa Tena Ligi kuu U-20

Mtibwa Sugar Bingwa Tena Ligi kuu U-20

Mtibwa Sugar Bingwa Tena Ligi kuu U-20 Mtibwa sugar imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa ligi kuu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 kwa msimu huu wa 2021/2022 baada ya kuifunga timu ya Mbeya Kwanza kwa magoli goli 4-1 kwenye mchezo wa fainali uliopigwa Julai 17, 2022...
kozi ya Caf A Diploma yaendelea  kwa Mkapa

kozi ya Caf A Diploma yaendelea  kwa Mkapa

kozi ya Caf A Diploma yaendelea  kwa Mkapa Moduli ya tatu ya kozi ya CAF A diploma imeanza leo katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam baada ya moduli ya pili kumalizika mwezi Mei, 2022 na washiriki kuelekea katika mafunzo kwa vitendo katika timu za taifa...
TFF yaendesha semina ya usajili na uhamisho wa Kimataifa.

TFF yaendesha semina ya usajili na uhamisho wa Kimataifa.

TFF yaendesha semina ya usajili na uhamisho wa Kimataifa. Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (Tff) limeendesha semina maalum Kwa ajili ya kukumbushia taratibu za Usajili na uhamisho wa Kimataifa (FIFA CONNECT & TMS) Leo Julai 11,2022 katika moja ya kumbi za...