by tff admin | Aug 22, 2024 | News
Tanzania Kukipiga Robo Fainali na Mwenyeji Timu ya Taifa ya Tanzania ya wasichana chini ya miaka 12 inatarajia Kukipiga Agosti 22, 2024 kwenye hatua ya robo Fainali dhidi ya mwenyeji wa mashindano hayo ya Female Universal Youth Cup, timu kutokea nchini China...
by tff admin | Aug 22, 2024 | News
Tanzania Yaanza Kwa Ushindi “Female Universal Youth Cup” Timu ya Taifa ya wasichana U12 inayoshiriki mashindano ya Female Universal Youth Cup Dingnan China imeanza Kwa Miguu wa kulia mashindano hayo baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wake wa kwanza....
by tff admin | Aug 19, 2024 | Beach Soccer, News
Timu ya Soka la ufukweni yashiriki mashindano ya Casablanca Cup, Morocco Timu ya Taifa ya Soka la ufukweni imeshiriki mashindano ya Casablanca Cup yaliyofanyika nchini Morocco katika mji wa Casablanca. Timu hiyo ilipata nafasi ya kucheza michezo mitatu ya kimataifa...
by tff admin | Aug 3, 2024 | News
Serikali Yaimwagia Sifa TFF kwa Usimamizi Mzuri wa Soka Nchini Serikali imelipongeza Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kuendelea kusimamia vizuri maendeleo ya Mpira wa Miguu nchini kutokana na mafanikio makubwa yalipatikana chini ya Rais wa TFF Wallace...
by tff admin | Jul 26, 2024 | News
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Afanya Ziara TFF Kigamboni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Suleiman Serera amefanya Ziara ya kitembelea kituo cha ufundi cha TFF, kilichopo Kigamboni Dar es salaam Julai 25, 2024 ambapo...
by tff admin | Jul 20, 2024 | News, Twiga Stars
Twiga Stars Mabingwa Tunis Women’s Cup Timu ya Taifa ya Wanawake “Twiga Stars” imetwaa Ubingwa mashindano ya Tunis Women’s Cup 2024 yaliyofanyika nchini Tunisia yakishirikisha nchi za Tanzania, Botswana na wenyeji Tunisia. Twiga Stars ilifikia...