Tanzania Kukipiga Robo Fainali na Mwenyeji

Tanzania Kukipiga Robo Fainali na Mwenyeji

Tanzania Kukipiga Robo Fainali na Mwenyeji Timu ya Taifa ya Tanzania ya wasichana chini ya miaka 12 inatarajia Kukipiga Agosti 22, 2024 kwenye hatua ya robo Fainali dhidi ya mwenyeji wa mashindano hayo ya Female Universal Youth Cup, timu kutokea nchini China...
Usiku wa Tuzo za TFF

Usiku wa Tuzo za TFF

Serikali Yaimwagia Sifa TFF kwa Usimamizi Mzuri wa Soka Nchini Serikali imelipongeza Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kuendelea kusimamia vizuri maendeleo ya Mpira wa Miguu nchini kutokana na mafanikio makubwa yalipatikana chini ya Rais wa TFF Wallace...
Ziara ya Naibu Katibu mkuu ofisi za TFF Kigamboni

Ziara ya Naibu Katibu mkuu ofisi za TFF Kigamboni

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Afanya Ziara TFF Kigamboni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Suleiman Serera amefanya Ziara ya kitembelea kituo cha ufundi cha TFF, kilichopo Kigamboni Dar es salaam Julai 25, 2024 ambapo...
Twiga Stars Mabingwa Tunis Women’s Cup

Twiga Stars Mabingwa Tunis Women’s Cup

Twiga Stars Mabingwa Tunis Women’s Cup Timu ya Taifa ya Wanawake “Twiga Stars” imetwaa Ubingwa mashindano ya Tunis Women’s Cup 2024 yaliyofanyika nchini Tunisia yakishirikisha nchi za Tanzania, Botswana na wenyeji Tunisia. Twiga Stars ilifikia...