Timu ya Taifa ya U20 Kurejea Nyumbani

Timu ya Taifa ya U20 Kurejea Nyumbani

Timu ya Taifa ya U20 Kurejea Nyumbani Timu ya Taifa ya vijna wenye umri chini ya miaka 20 (U20) inatarajia kurejea nchini Tanzania ikitokea Sudani ilikokwenda kushiriki mashindano ya Baraza la Mpira wa Miguu la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) ya kuwania teketi ya...
Young Africans Hamsini kwa Hamsini Kutinga Makundi CAF

Young Africans Hamsini kwa Hamsini Kutinga Makundi CAF

Young Africans Hamsini kwa Hamsini Kutinga Makundi CAF Kocha Mkuu wa timu ya Young Africans Nasreddine Nabi amesema timu yake bado inanafasi ya kutinga hatua ya makundi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. Kocha huyo alitoa kauli hiyo alipokuwa...
TFF na Precession Airline Zaingia Mkataba

TFF na Precession Airline Zaingia Mkataba

TFF na Precession Airline Zaingia Mkataba Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeingia makubaliano ya kimkataba na Shirika la Ndege la “Precession Air” wa kuwa Msafirishaji rasmi  wa Kombe la Shirikisho linalojulikana kama (Azam Sports  Federation...
Ruvu Shooting, Prisons Hakuna Mbabe Uhuru

Ligi Kuu ya NBC Yazidi Kunoga

  Ligi Kuu ya NBC Yazidi Kunoga Michezo miwili ya Ligu Kuu Bara imepigwa Oktoba 31, 2022 na kumalizika kwa ushindi wa bao moja moja kwa kila timu iliyofanikiwa kupata matokeo. Mchezo wa kwanza ulichezwa majira ya (10:00 jioni), ukizikutanisha Ruvushooting FC...
Serengeti Girls yazawadiwa Milioni 40 na waziri Mchengerwa

Serengeti Girls yazawadiwa Milioni 40 na waziri Mchengerwa

Serikali yaikabidhi Serengeti Girls milioni 40 Serikali kupitia wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeizawadia timu ya Taifa ya wanawake U17 Serengeti Girls shilingi milioni 40 kwa kufanikiwa kufika hatua ya robo fainali kwenye Fainali za Kombe la Dunia India 2022....