by tff admin | Oct 21, 2022 | News
MOROCCO : TUPO TAYARI KUWAKABILI NIGERIA Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya wanaume wenye umri chini ya miaka 23 (U23), Hemed Morocco amesema wapo tayari kuwakabili Nigeria kwenye mchezo wa kusaka tiketi ya kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) 2023 utakaochezwa...
by tff admin | Oct 18, 2022 | News
SERENGETI GIRLS YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA DUNIA Timu ya Taifa ya wanawake U17 Serengeti Girls imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2022, India baada ya kutoka sare ya kufungana bao 1-1 na Canada kwenye mchezo wa mwisho wa Kundi D. Canada...
by tff admin | Oct 12, 2022 | News
Kilimanjaro Warriors kuingia Kambini Kesho Kocha mkuu wa kikosi cha timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 23 Hemedi Suleimani Morocco ametaja kikosi cha wachezaji 27 watakaoingia kambini kesho Octoba 13, 2022 kujiandaa na mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya...
by tff admin | Sep 17, 2022 | News
Kocha wa Timu ya Taifa “Taifa Stars” Honour Janza ametaja kikosi cha wachezaji 23 watakaoingia kambini kwa michezo miwili ya Kirafiki kwenye Kalenda ya FIFA dhidi ya Libya. Kikosi kitaingia kambini Jumamosi Septemba 17, 2022 jijini Dar es salaam. Wachezaji 23...
by tff admin | Sep 11, 2022 | News, Twiga Stars
TWIGA STARS WASHINDI WA TATU COSAFA Timu ya Taifa ya wanawake “Twiga Stars” imefanikiwa kunyakuwa nafasi ya tatu katika michuano ya Wanawake ya Hollwoodbets Cosafa iliyomalizika leo Port Elizabeth Afrika Kusini. Twiga Stars imeshika nafasi hiyo baada ya kuifunga timu...
by tff admin | Sep 10, 2022 | News, Twiga Stars
Twiga stars kukutana na Namibia michuano ya Cosafa Timu ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itakutana na timu ya taifa ya Namibia katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu katika michuano ya Hollwoodbets Cosafa women’s championship inayoendelea kutimua vumbi Port...