Ujenzi wa Kituo cha Kukuzia Vipaji vya Mpira wa Miguu na Viwanja Kigamboni na Tanga Kuanza Rasmi Oktoba, 2020.

Ujenzi wa Kituo cha Kukuzia Vipaji vya Mpira wa Miguu na Viwanja Kigamboni na Tanga Kuanza Rasmi Oktoba, 2020.

Ujenzi wa Kituo cha Kukuzia Vipaji vya Mpira wa Miguu na Viwanja Kigamboni na Tanga Kuanza Rasmi Oktoba, 2020. Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia amewakabidhi kampuni ya Group Six International eneo la ujenzi hii leo 29 Septemba, 2020...
Mabingwa wa Cosafa Tanzanite watua, waahidi kupigania Taifa

Mabingwa wa Cosafa Tanzanite kutua leo Kibabe

Timu ya Taifa ya Wanawake U20 “Tanzanite” inatarajia kurudi leo ikitokea Port Elizabeth,Afrika Kusini ilipokua ikishiriki mashindano ya Cosafa. Tanzanite itatua saa 12 na nusu jioni ikiwa na Kombe la Ubingwa wa mashindano hayo. Katika mashindano ya Cosafa,Tanzanite...