BMT yatoa tuzo kwa wanamichezo nchini

BMT yatoa tuzo kwa wanamichezo nchini

BMT yatoa tuzo kwa wanamichezo nchini Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa tuzo kwa wanamichezo Bora nchini katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Lengo la tuzo hizo ni kutambua na kuthamini mchango wa wanamichezo wanaofanya...
Simba Queens Yatangulia Nusu Fainali

Simba Queens Yatangulia Nusu Fainali

Simba Queens Yatangulia Nusu Fainali Timu ya Simba Queens kutoka Tanzania inayoshiriki kwenye michuano Kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake kanda ya CECAFA tayari imekwisha kujihakikishia kutinga mpaka hatua inayofuata kwenye michuano hiyo mara baada ya ushindi...
Semina ya Waamuzi wa Fifa na Elite Yahitimishwa

Semina ya Waamuzi wa Fifa na Elite Yahitimishwa

Semina ya Waamuzi wa Fifa na Elite Yahitimishwa. Makamu wa pili wa Rais wa TFF Steven Mnguto amehitimisha rasmi semina ya siku tano ya waamuzi wa FIFA na Elite leo Julai 29, 2022 katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam. Semina hiyo yenye mjumuisho wa...