by tff admin | Mar 24, 2023 | Beach Soccer, Coaching, Fantasy, Grassroots-For Kids, Home Videos, Kilimanjaro Queens, Kilimanjaro Stars, Kilimanjaro Warriors, Ligi Daraja la Kwanza(FDL), Ligi Daraja la Pili (SDL), Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL), Ligi ya Vijana U20, Men's Beach Soccer, News, Racing, Referees, Serengeti Boys, Taifa Stars, Tanzania Bara U20, The Tanzanite, Twiga Stars, Uncategorized, Videos, Women's Premier League
BMT yatoa tuzo kwa wanamichezo nchini Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa tuzo kwa wanamichezo Bora nchini katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Lengo la tuzo hizo ni kutambua na kuthamini mchango wa wanamichezo wanaofanya...
by tff admin | Mar 24, 2023 | News, Women's Premier League
Yanga Princess Ngoma Ngumu Kulisaka Taji (SWPL) Mechi za Ligi Kuu ya Wanawake Serengeti Lite (SWPL) zimeendelea wiki hii, michezo mitano ikipigwa raundi ya 11 huku mambo yakionekana kuzidi kuwa magumu kwa Yanga Princess katika mbio za kulisaka taji la msimu huu wa...
by tff admin | Dec 2, 2022 | Beach Soccer, Men's Beach Soccer, News, Women's Premier League
TFF yaendesha mafunzo ya soka la ufukweni kwa wanawake Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia idara ya ufundi limeendesha mafunzo ya kwanza ya soka la ufukweni kwa wanawake yaliyofanyika Makao Makuu ya TFF, Ilala, Dar es salaam. Mafunzo hayo ya siku mbili...
by tff admin | Aug 17, 2022 | News, Women's Premier League
Simba Queens Yatangulia Nusu Fainali Timu ya Simba Queens kutoka Tanzania inayoshiriki kwenye michuano Kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake kanda ya CECAFA tayari imekwisha kujihakikishia kutinga mpaka hatua inayofuata kwenye michuano hiyo mara baada ya ushindi...
by tff admin | Aug 4, 2022 | Ligi Daraja la Kwanza(FDL), Ligi Daraja la Pili (SDL), Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL), News, Referees, Women's Premier League
Waamuzi wa First League, ligi kuu ya wanawake na RCL wapigwa Msasa Semina ya siku tano ya waamuzi wa First league, ligi kuu ya wanawake na wanaochezesha ligi ya mabingwa wa mikoa (RCL) imefungwa leo Agosti 04,2022 na Makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano TFF James...
by tff admin | Jul 29, 2022 | Ligi Daraja la Kwanza(FDL), Ligi Daraja la Pili (SDL), Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL), Ligi ya Vijana U20, News, Referees, Women's Premier League
Semina ya Waamuzi wa Fifa na Elite Yahitimishwa. Makamu wa pili wa Rais wa TFF Steven Mnguto amehitimisha rasmi semina ya siku tano ya waamuzi wa FIFA na Elite leo Julai 29, 2022 katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam. Semina hiyo yenye mjumuisho wa...