Stars” Hesabu Kali Dhidi ya Mongolia

Stars” Hesabu Kali Dhidi ya Mongolia

Stars” Hesabu Kali Dhidi ya Mongolia Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kilichopo Azerbaijan kwaajili ya michezo miwili ya kirafiki “FIFA Series 2024” kimeendelea na hesabu za kuuendea mchezo wake wa pili na wa mwisho...
Mashindano ya FIFA Series ni Faida kwa Stars

Mashindano ya FIFA Series ni Faida kwa Stars

Mashindano ya FIFA Series ni Faida kwa Stars Kauli ya Mkurugenzi wa Sheria, habari na Masoko TFF Boniface Wambura kufuatia mashindano mapya ” FIFA Series 2024″ yaliyoanzishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA Kwa lengo la kukutanisha timu za...
Tanzanite Yarejea Nyumbani

Tanzanite Yarejea Nyumbani

Tanzanite Yarejea Nyumbani Timu ya Taifa ya Wanawake U20 “Tanzanite” imewasili nchini Machi 18, 2024 ikitokea kwenye mashindano ya All African Games yaliyokuwa yakifanyika Accra nchini Ghana. Tanzanite iliyoondoka hapa nchini tangu Machi 9, 2024 ilicheza...
Waamuzi RCL Kunolewa Makao Makuu TFF

Waamuzi RCL Kunolewa Makao Makuu TFF

Waamuzi RCL Kunolewa Makao Makuu TFF   Kozi ya siku tano kwa waamuzi wa ligi ya mabingwa wa mikoa (RCL 2024) inaendelea makao makuu ya Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF. Kozi hiyo inayojumuisha washiriki 107 kutoka mikoa mbalimbali Tanzania, imeanza Machi...