by tff admin | Mar 20, 2024 | Beach Soccer, News
Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni Kujipanga Kwa BAFCON Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni iliyokuwa ikishiriki mashindano ya COSAFA Durban Afrika Kusini imehamishia nguvu na akili kwenye mashindano ya BAFCON. Timu hiyo ya Taifa ilicheza na kupoteza mechi zake zote za...
by tff admin | Mar 19, 2024 | Beach Soccer, News
Pawasa: “Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni Nafasi Bado Ipo” Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni Boniface Pawasa na wachezaji wa timu ya hiyo kwa pamoja wamesema kuwa Tanzania bado inanafasi ya kusonga mbele katika michuano COSAFA inayoendelea...
by tff admin | Nov 16, 2023 | Beach Soccer, News
Makocha Soka la Ufukweni Kunolewa kwa Siku Tano TFF Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF linaendesha kozi ya siku tano maalumu kwa makocha wa mpira wa miguu soka la ufukweni inayojumuisha makocha mbalimbali kwa lengo la kuwaongezea maarifa yatakayo pelekea...
by tff admin | Aug 16, 2023 | Beach Soccer, News
Bashley Express Air cargo mdhamini mpya ligi kuu ya soka la ufukweni Kampuni ya usafirishaji wa mizigo Bashley Express Air cargo imekuwa kampuni ya kwanza kutoa udhamini kwa ligi kuu ya soka la ufukweni tangu ilipoanza kuchezwa mwaka 2016. Udhamini huo utadumu kwa...
by tff admin | Aug 6, 2023 | Beach Soccer, News
Kamati ya Olimpiki Tanzania Imefunguwa Mafunzo kwa Wadau wa Michezo Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) imefunguwa mafunzo ya juu ya usimamizi wa michezo kwa wadau mbalimbali wa michezo Tanzania yatakayo jumuisha washiriki 16. Mafunzo hayo yanayotarajia kuanza rasmi...
by tff admin | Mar 24, 2023 | Beach Soccer, Coaching, Fantasy, Grassroots-For Kids, Home Videos, Kilimanjaro Queens, Kilimanjaro Stars, Kilimanjaro Warriors, Ligi Daraja la Kwanza(FDL), Ligi Daraja la Pili (SDL), Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL), Ligi ya Vijana U20, Men's Beach Soccer, News, Racing, Referees, Serengeti Boys, Taifa Stars, Tanzania Bara U20, The Tanzanite, Twiga Stars, Uncategorized, Videos, Women's Premier League
BMT yatoa tuzo kwa wanamichezo nchini Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa tuzo kwa wanamichezo Bora nchini katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Lengo la tuzo hizo ni kutambua na kuthamini mchango wa wanamichezo wanaofanya...