Mtibwa Sugar Bingwa TFF Ligi U20 2023

Mtibwa Sugar Bingwa TFF Ligi U20 2023

Mtibwa Sugar Bingwa TFF U20 Ligi Ligi Kuu ya Vijana wa U-20 imefikia tamati Julai 2, 2023 kwa timu ya Vijana ya Mtibwa Sugar kutwaa ubingwa huo kwa mara ya tano mfululizo. Mtibwa Sugar ilifanikiwa kupata ubingwa huo baada ya kuifunga timu ya Geita Gold bao 1-0 kwenye...
BMT yatoa tuzo kwa wanamichezo nchini

BMT yatoa tuzo kwa wanamichezo nchini

BMT yatoa tuzo kwa wanamichezo nchini Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetoa tuzo kwa wanamichezo Bora nchini katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Lengo la tuzo hizo ni kutambua na kuthamini mchango wa wanamichezo wanaofanya...
Semina ya Waamuzi wa Fifa na Elite Yahitimishwa

Semina ya Waamuzi wa Fifa na Elite Yahitimishwa

Semina ya Waamuzi wa Fifa na Elite Yahitimishwa. Makamu wa pili wa Rais wa TFF Steven Mnguto amehitimisha rasmi semina ya siku tano ya waamuzi wa FIFA na Elite leo Julai 29, 2022 katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam. Semina hiyo yenye mjumuisho wa...
Mtibwa Sugar Bingwa Tena Ligi kuu U-20

Mtibwa Sugar Bingwa Tena Ligi kuu U-20

Mtibwa Sugar Bingwa Tena Ligi kuu U-20 Mtibwa sugar imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa ligi kuu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 kwa msimu huu wa 2021/2022 baada ya kuifunga timu ya Mbeya Kwanza kwa magoli goli 4-1 kwenye mchezo wa fainali uliopigwa Julai 17, 2022...