Timu Bora ni Golikipa “Mohammed Tajdin”

Timu Bora ni Golikipa “Mohammed Tajdin”

Timu Bora ni Golikipa; Mohammed Tajdin Katibu wa Chama cha Makocha wa Mpira wa miguu Tanzania (TAFCA) Mohammed Tajdin amewataka wahitimu wa kozi ya ukocha wa magolikipa kwenda kuwapika magolikipa bora walio kwenye viwango vya kwenye ligi yetu inayozidi kukuwa na hata...
CAF C Diploma Imefunguliwa Makao Makuu TFF

CAF C Diploma Imefunguliwa Makao Makuu TFF

CAF C Diploma Imefunguliwa Makao Makuu TFF Kozi ya walimu wa mpira wa miguu ngazi ya CAF C Diploma inayojumuisha washiriki 45 imefunguliwa na Makamu wa kwanza wa Rais TFF Athumani Nyamlani Julai 29, 2022 makao makuu ya Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania TFF....
Serikali Yampongeza Rais Karia Kuipeleka Serengeti Girls Kombe la Dunia India  Oktoba, 2022

Serikali Yampongeza Rais Karia Kuipeleka Serengeti Girls Kombe la Dunia India  Oktoba, 2022

Serikali Yampongeza Rais Karia Kuipeleka Serengeti Girls Kombe la Dunia India  Oktoba, 2022 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemmwagia sifa Rais wa Shirikisho la Mpira Tanzania (TFF) kwa kufanikisha kuipeleka Kombe la Dunia timu ya wasichana wenye umri...
Serengeti Girls Miongoni mwa timu 16 Zilizo fuzu Kombe la Dunia

Serengeti Girls Miongoni mwa timu 16 Zilizo fuzu Kombe la Dunia

Serengeti Girls Miongoni mwa timu 16 Zilizo fuzu Kombe la Dunia Timu ya Taifa ya wasichana wenye umri chini ya  miaka 17 Serengeti Girls rasmi imeweza kufuzu kushiriki Fainali za Kombe la Dunia baada ya ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wao dhidi ya Cameroon Juni 05,...
Issa Bukuku Aibariki Kozi ya Ukocha CAF Diploma D

Issa Bukuku Aibariki Kozi ya Ukocha CAF Diploma D

Issa Bukuku Aibariki Kozi ya Ukocha CAF Diploma D Kozi ya ukocha ya CAF Diploma D inayojumuisha washiriki 52 imefunguliwa ramsi na kubarikiwa na mwenyekiti wa kamati ya ufundi ambaye pia ni mjumbe wa kamati tendaji TFF Issa Mrisho Bukuku Januari 28, 2022. Kozi hiyo ya...